Image
Image

WENYE MABASI YA ABIRIA NCHINI RWANDA WALALA MIKIA SHERIA MPYA.



Kigali.
Wenye mabasi madogo ya abiria nchini Rwanda wamelalamikia sheria mpya inayowataka kupitia katika maeneo fulani kwenye mji mkuu Kigali. 

Wanasema kwamba mamlaka ya mji wa Kigali iliwabagua na kutoa leseni za barabara ambazo hazina wateja . 

Mamlaka ya mji ilitoa leseni za barabara muhimu kwa wenye mabasi makubwa na hivyo wale wenye magari madogo sasa wamesalia bila biashara. 

Shirikisho la usafiri wa umma, kampuni ya basi ya Kigali (KBS) na kapmuni nyingine ya Royal express pekee ndizo zilipewa tenda ya miaka mitano ya kusafirisha watu katika maeneo maalum mjini humo.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment