Image
Image

MBUNGE WA TANZANIA AKWAPUA CHENI YA MAANA HUKO JIJINI BRUSSELS.



Ismael Mohamed (Bin majid).

Taarifa za ndani kabisa kutoka ofisi ya ubalozi wetu jijini Brussels nchini Belgium zinapasha kuwa mheshimiwa mbunge aliyetajwa katika thread hii ameiba mkufu wa dhahabu katika shopping mall moja Kubwa iliyoko jijini Brussels.

Mh. Mwanjelwa alikuwa akihudhuria mkutano wa binge la commonwealth akiwa ameambatana na wabunge wenzake Job Ndugai(naibu spika) na Mussa Azzan Zungu(Ilala).
Taarifa za wizi Hui zilibainika baada ya shopping mall hiyo kumbaini mwizi wao kuwa ni mbunge wa Tanzania hivyo kuwasilisha invoiceubalozini kwetu kwa ajili ya malipo.

Baada ya wizo huo mbunge Mwanjelwa alipanda ndege na kutoroka kuelekea nchini Singapore tarehe 21 September 2013.

Habari hii imefanywa siri kubwa sana Kati ya wabunge hao na ofisi ya ubalozi wetu wa Brussels na hadi taarifa hip inanifikia ni baada ya ofisa ubalozi mmoja kushindwa kuvumilia Tabia hii chafu ya mbunge kuidhalilisha nchi huko ughaibuni kwa mkufu ambao kwa kipato chake angeweza kuununua.

Itakumbukwa kuwa mbunge huyu amewahi kukumbwa na kashfa ya kuiba mataulo katika hoteli moja maarufu jijini Arusha.

Bado ninaendelea kufuatilia habari hizi kujua kama ubalozi umemlipia invoice ile AMA amebanwa na vyombo husika na kuhakikisha analipa Demi Hilo mwenyewe.
Kuhusu hili tutawajuza kadiri mwandishi alitujuza atakavyo kuwa kapata.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment