ESTER JONAS, mwenye umri
wa miaka 30 ambaye jana amefanyiwa upasuaji wa kichwa katika hospitali ya rufaa
ya BUGANDO imebadilika ghafla usiku wa kuamkia leo na madaktari wamemuwekea
mipira puani kwa ajili ya kumsaidia kupumua ili kuokoa maisha yake.
Mkuu wa kitengo cha dharura katika
hospitali ya BUGANDO DK. DERICK DAVID amesema kuwa hali ya mama huyo sio nzuri
na kwamba kwa sasa anapumua kwa shida na pia hazungumzi na kuongeza kuwa
kinachofanyika sasa ni kuendelea kumsafisha vidonda na kumpa antibaotiki ya
kukausha vidonda.Kwa kutaka kufahamu zaidi Bofya hapa>>>http://www.itv.co.tz/new.
0 comments:
Post a Comment