Image
Image

Mama Salma Kikwete aitaka jamii kupaza sauti zao ili watoto wenye mahitaji maalum kuweza kusaidiwa


Mjumbe w a Halmashauri Kuu ya Taifa   ya Chama Cha Mapinduzi kupitia wilaya ya Lindi  Mjini ,Mama  SALMA KIKWETE  ameitaka jamii ku paza sauti zao  kuwasemea watoto wenye mahitaji maalum .Amesema  watoto hao wanakabiliwa na  matatizo   mbalimbali na hawana mtu wa kumw eleza  matatizo yao.Mama  SALMA   KIKWETE  ambaye ni Mke wa Rais  JAKAYA MRISHO KIKWETE  a metoa   rai hiyo alipotembelea kitengo cha wanafunzi wenye mahitaji maalum  katika   Shule  ya Msingi Mpilipili ,Wilaya  ya Lindi  Mjini .Ame sema watoto wenye mahitaji maalum wanakabiliwa na  matatizo mengi ikilinganishwa   na watoto wengine  na  pia matatizo yao hayafanani hivyo ni jukumu la kila mtu katika jamii kuw asaidia watoto hao ili wa ishi kama watoto wengine.Akisoma taarifa ya kitengo cha wanafunzi wenye mahitaji maalum mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mpilipili , Bwana    FADHILI MTITIMA  ame sema kitengo hicho kilianzishwa mwaka 1993 kikiwa na wanafunzi watano na hivi sasa kuna wanafunzi 20 .
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment