Mtwara:Meli kubwa
Meli kubwa kabisa inayojulikana kwa jina la HAMMONIA
PHAFICUM yenye urefu wa mita 209 na
uwezo wa kubeba kontaina 1040 toka nchini Singapole imewasili katika bandari ya
mtwara na kuwa vuta wakazi wengi kuja kuiona na kusema kuwa ikitunzwa vizuri
italeta neema kwa watanzania.
Meli hiyo ambayo ni ndefu imevunja rekodi ya meli ndefu ambayo ilishawahi kufika
bandarini hapo yapata miaka minne iliyopita ambayo ilikuwa na urefu wa mita 205.
Wakazi wa mtwara wamesema kuwa meli hiyo ili iweze
kudumu wanaiomba serikali kuipatia vifaa vya kisasa ili iweze kuendelea kutoa
huduma mjini humo na ikiwa ni meli ambayo nikubwa wao wanajionea fahari kuwa na
chombo kikubwa kama hicho na hivyo kuwasihi watanzania wenzao kuwa na umoja na
kukilinda na kukipenda chombo chao hicho.
Bandari ya mtwara ilijengwa miaka ya 1940 na
imeonyesha ukomavu wa hali ya juu na kuonekana kuwa ni imara baada ya kuhimili
kishindo cha Meli hiyo kubwa kutua bandarini hapo.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment