Image
Image

Ntibenda :Awahimiza Wakazi wa arusha kulima mazao yanayohimili ukame


Mkuu wa mkoa wa ARUSHA,FELIX NTIBENDA amewaagiza wakazi wa wilaya ya ARUMERU mkoani ARUSHA,kulima mazao yanayostahimili ukame ili kuondokana na tatizo la upungufu wa chakula unajitokeza kutokana na uhaba wa mvua.
Akizungumza katika kikao cha baraza la madiwani cha Halmashauri ya MERU,mkuu wa mkoa amesema kuanzia sasa hakuna maafisa kilimo kukaa ofisini na badala yake watembelee mashamba ya wakulima ili kuona tatizo linalowakabili katika kilimo.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment