Balozi mpya wa Tanzania
nchini Kenya Bwana John Haule akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Balozi mpya wa
Tanzania nchini Kenya Bwana John Haule akipeana mkono na Rais Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete mara baara ya kula kiapo Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Naibu Katibu mkuu
Wizara ya Fedha, Dkt. Hamisi Mwinyimvua akila kiapo mbele ya
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Rais Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete akiirekebisha tai ya mtoto Amani Mwinyimvua(11) muda mfupi baada
ya kumwapisha Baba yake Hamis Mwinyimvua kuwa Naibu Katibu.
Rais Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete leo amewaapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya na Naibu
Katibu mkuu wa Wizara ya Fedha.
Katika hafla hiyo iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam, Rais Kikwete
amemwapisha Bwana John Haule kuwa balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya na
Dkt.Hamisi Mwinyimvua ameapishwa kuwa naibu katibu mkuu wa Wizara ya Fedha.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment