Waziri wa uchukuzi nchini
Tanzania Mh.Samweli Sita amemsimamisha kazi mkurugenzi mkuu wa bandari Bwana
madeni kipande kwa tuhuma za kukiuka maadili ya utoaji wa tenda na kuchelewesha
zabuni zilizokuwa zinashinda.
Mh.Samweli Sita Waziri wa
uchukuzi nchini Tanzania
Madeni Kipande Mkurugenzi Mkuu wa
Bandari
Hata hiyo sitta yaya ameunda tume
ya watu sita kumchunguza mkurugenzi huyo endapo akibainika sheria itafuata
mkondo wake.
Mhandisi Kipande ambaye atakuwa nje ya madaraka kwa muda wa wiki mbili
kupisha uchunguzi huo na nafasi yake itakaimiwa na Meneja wa Bandari Dar
es Salaam Bw. Awadhi Masawe.
Endelea kufuatilia taarifa zetu
Tambarare Halisi itakujuza kwa kila hatua.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment