Image
Image

Toleo la pili la gazeti la Charlie Hebdo kuchapishwa tena Februari 25 na mambo kedekede



Toleo la pili baada ya shambulio katika makao makuu ya gazeti la Charlie Hebdo litatolewa tarehe 25 mwezi huu.Mhariri mpya wa gazeti la Charlie Hebdo amefahamisha kuwa katika toleo lake lijalo litakalotolewa Februari 25 halitokuwa na kibonzo cha Mtume Muhammad.Gazeti la Charlie Hebdo litachapisha toleo lake la pili baada ya shambuliyo katika makao makuu yake jijini Paris ambalo watu 12 waliuawa mnamo Januari 7.Gazeti hilo lilichapisha kibwengo cha Mtume Muhammad katika toleo lake la kwanza baada ya shambulio hilo.Mhariri mpya wa gazeti hilo alifahamisha kuwa toleo lijalo halitokuwa na kibwengo cha mtume na kuwataka wateja wake wawe na uvumilivu.


Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment