Image
Image

Bunge mjini Dodoma limepitisha muswada wa Sheria ya Takwimu ya 2014 na muswaada wa usimamizi wa Kodi 2014.



Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limepitisha miswada miwili ya sheria ya usimamizi wa maafa ya mwaka 2014 pamoja na ule sheria  ya usimamizi wa kodi wa mwaka huo huo 2014.

Miswada hiyo imepitishwa baada ya kushindikanika katika vikao vilivyopita kutoka na idadi ya wabunge waliotakiwa kuipigia kura kutokutimia.

Mapema leo ,Mwenyekiti wa bunge Lediana Mng'ongo ametoa agizo kwa wabunge waliopo nje ya bunge kuingia ndani ili idadi inayotakiwa kisheria kupigia kura muswada wa marekebisho ya sheria ya uhamiaji ya mwaka 2014 ambao inahitaji robo tatu ya wabunge wawepo wakati unapitishwa.

Kumekuwa na mahudhurio yasiyoridhisha ya wabunge katika mkutano wa 19 ambao unaendelea mkoani Dodoma hali inayofanya baadhi ya miswada kushindikanika kupitishwa.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment