Katika matokeo yaliyotangazwa kituoni Chadema kimepata ushindi wa
kimbunga wa kura 500 huku CCM wakiambulia kura 180
Ushindi huu ni aibu kubwa kwa CCM iliyopiga kampeni kufa na kupona kwa kutumia wabunge na baadhi ya mawaziri.
Ni shangwe kuu zimetanda kila mahali huku mamia ya wananchi wakipeperusha bendera za Chadema.http://chademablog.blogspot.com/
Ushindi huu ni aibu kubwa kwa CCM iliyopiga kampeni kufa na kupona kwa kutumia wabunge na baadhi ya mawaziri.
Ni shangwe kuu zimetanda kila mahali huku mamia ya wananchi wakipeperusha bendera za Chadema.http://chademablog.blogspot.com/
0 comments:
Post a Comment