Image
Image

MECHI ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika kati ya wenyeji, Yanga SC dhidi ya timu ya FC Platinum ya Zimbambwe iliingiza mil 91,660,000

MECHI ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika kati ya wenyeji, Yanga SC dhidi ya timu ya FC Platinum ya Zimbambwe iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam iliingiza mil 91,660,000 kutokana na watazamaji 14,563 waliokata tiketi kushuhudia mchezo huo.
Mgawanyo wa mapato katika mchezo huo ni, VAT 18% sh. 13,982,033, Gharama ya tiketi sh. 12,380,000, Uwanja 15% sh. 9,794,694.92, Gharama za mchezo 15% sh. 9,794,694.92, TFF 5% sh. 3,264,898.31, CAF 5% sh. 3,264,898.31 na Young Africans 60% sh.39.178,779.66.
Katika mchezo huo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza ya michuano hiyo, Yanga SC ilianza kwa ushindi wa 5-1 nyumbani dhidi ya Platinum FC na sasa itakwenda kupigania hata sare ugenini wiki ijayo ili kusonga mbele.
Salum Telela akipongezwa na wenzake baada ya kufunga bao la kwanza katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Platinum Jumapili
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment