Image
Image

Mvua zinazoendelea kunyesha zawaathiri wafanya biashara jijini Dar es Salaam


Mvua zinazonyesha jijini DSM zimeathiri soko la matunda ya mashelimasheli na kusababisha bei ya matunda hayo kushuka kutokana na ukosefu wa wateja .
Kutokana na hali hiyo wateja wamepungua na wauzaji wa jumla wamejikuta wanauza kati ya tenga 5 na 20 kwa siku tofauti na hapo awali ambapo walikuwa wakiuza kati ya tenga 50 na 200.
Wafanyabiashara wamesema bei ya tenga moja la mashelisheli imeshuka na kuuzwa kwa shilingi 16,000 badala ya bei ya kati ya shilingi 25,000 na shilingi 30,000 ilivyokuwa hapo awali
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment