Image
Image

Rais BALDWIN LONSDALE wa kisiwa cha Vanuatu katika Bahari ya Pacific amesema kimbunga kilichotokea kwenye kisiwa chake ni mabadiliko ya tabia nchi

Rais BALDWIN LONSDALE wa  kisiwa cha Vanuatu,  katika  Bahari ya Pacific amesema  kimbunga kilichopiga kisiwa chake na kuharibu kila kitu ni matokeo ya mabadiliko ya tabia - nchi.
Amesema kimbunga hicho kiitwacho PAM kilichokuwa kikivuma kwa kasi  y a   Kilomita  250 kwa saa na kusababisha mv ua kubwa ya mafuriko kimeharibu  maendeleo yote yaliyokuwa yamefikiwa na kisiwa hicho.
Bwana LONSDALE alikuwa akizungumza  nchini   J apan ambako amekuwa akihudhuria  mkutano ambako amesema kimbunga hicho kimeku wa pigo kwa serikali na watu wa  kisiwa hicho.
Hadi sasa watu wanane wamethibitishwa wamekufa kutokana na kimbunga hicho,lakini idadi ya watu waliokufa hue nda ikaongezeka wakati waokoaji  wakiyafikia maeneo ya mbali ya kisiwa hicho.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment