Image
Image

Serikali imeweka bayana sababu zinazo changia tanzania kuwa maskini licha ya kuwa na rasilimali nyingi.


Serikali imesema ukosefu wa mbinu madhubuti za kilimo,kukosekana kwa wataalam katika sekta hiyo na ukosefu wa ajira kwa vijana ni miongoni kati ya sababu ambazo zimefanya Tanzania kuwa maskini.
Waziri ofisi ya Rais uratibu na mahusiano Dr.Mary Nagu wakati akijibu swali la mbunge wa jimbo la Tarime Nyambari Nyangwine aliyeuliza kwa nini Tanzania ni maskini ilhali ina rasilimali nyingi.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment