Image
Image

Serikali kuweka Sheria Kali kuwabana wawekezaji wanaokiuka miiko ya uwekezaji.




Serikali imetakiwa kuweka sheria kali za kuwadhibiti wawekezaji ambao wanakiuka miiko ya uwekezaji kwa kubadili miradi katika eneo husika tofauti na ule waliomba kuufanya.
Mbunge wa Viti maalum kupitia chama cha mapinduzi Ester Bulaya ametoa ushauri huo bungeni mjini Dodoma ambapo Naibu Waziri ofisi ya waziri mkuu  tawala za mikoa na Serikali za  mitaa Khasim Majaliwa ameziagiza halmashauri zote nchini kutoa taarifa Serikali kuu kuhusiana na wawekezaji waliokiuka miiiko ya uwekezaji kwa kubadili miradi pasipo taarifa.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment