Image
Image

Serikali ya COLOMBIA yafikia makubaliano na waasi wa Kikundi cha FARC

Serikali ya COLOMBIA, na waasi wa kikundi cha FARC cha nchini humo, wamekubaliana kuanza zoezi la kutegua mabomu ya kutegwa ardhi, yaliyoko katika eneo lililokuwa likitumiwa kwa mapambano dhidi ya pande hizo mbili.
Makubaliano hayo ni sehemu ya makubaliano ya amani yaliyofikiwa kati ya pande hizo mbili ya kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyenyewe, vilivyodumu kwa nusu karne nchini COLOMBIA.
Nchi hiyo ndiyo inayoongoza duniani kwa kuwa na mabomu mengi ya kutegwa ardhini.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment