Ripoti ya taasisi 21 za misaada imesema Umoja wa Mataifa umeshindwa kutekeleza makubaliano ya kuwalinda na kuwasaidia raia nchini Syria.
Taasisi hizo
zikiwemo za Save the Children na Oxfam zimesema mwaka huu umekuwa
mbaya kwa raia wakati mapigano nchini Syria yakiingia mwaka watano
sasa.
Taasisi nyingine
ya misaada imeeleza kuwa asilimia 83 ya taa za nchi hiyo haziwaki
tangu vita vianze Machi 2011.
0 comments:
Post a Comment