Image
Image

Viongozi wa wa madhehebu mbali mbali ya dini na kimila waiomba serikali kudumisha amani nchini,Jaji AGUSTINO RAMADHAN asema sio amani pekee inayopotea bali inafifisha masuala nyeti ya taifa

Viongozi  Waislam na  Kikristo  pamoja   na viongozi wa  mila, kutoka makabila ya mikoa ya  Arusha  na  Kilimanjaro wameitaka Serikali kutekeleza  maazimio ya kudumisha amani yanayo fikiwa na makundi mbalimbali  kwa ustawi wa taifa .
Kauli hiyo imesemwa na viongozi wa madhehebu ya dini na mila katika k ikao cha kujadili amani kinacho endelea Jijini Arusha na kuhusisha viongozi wa dini mila serikali na vyombo vya dola .
Kwa upande wake   Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu ,Jaji AGUSTINO RAMADHAN a mesema  kukosekana kwa amani siyo tu  kunasababisha  vurugu na vita  pekee ,bali ina sababisha   masuala mazito zaidi ya hayo .
Nao  viongozi wa mila wamesema wamejitahidi kutimiza wajibu wao katika kufani ki sha uwepo wa amani na kuitaka  Serikali iwape ushirikiano katika kufanikisha a zma   hiyo ili itekelezwe kwa vitendo .

Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu ,Jaji AGUSTINO RAMADHAN
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment