Image
Image

Wanawake nchini kenya kuandamana kwaajiji ya kushinikiza mbunge aliyebaka akamatwe


Mashirika yasiyoyakiserikali yanayojihusisha na haki za wanawake na watoto wa kike nchini Kenya yatafanya maandamano hii leo, kushinikiza mbunge anayedaiwa kumbaka mke wa mtu akamatwe.
Shirikisho la Asasi za Kiria Kenya limetaka kushtakiwa kwa mbunge wa jimbo la Imenti Gideon Mwiti kwa kosa la kumbaka mwanamke huyo.
Mashirika hayo yametoa wito kwa rais Uhuru Kenyatta, wabunge, Mkuu wa Jeshi la Polisi pamoja na Mkurugenzi wa Mashtaka Kenya kuhakikisha uchunguzi wa kina unafanyika kuhusina na tukio hilo la mbunge kubaka.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment