Image
Image

Watu 11 wamefariki dunia baada ya basi kutumbukia mtoni Venezuela


Basi la abiria limetumbukia kwenye bonde lenye mto kati kati ya Venezuela na kuuwa watu 11 na kujeruhi watu wengine 36.

Ajali hiyo iliyosababishwa na dereva kushindwa kumiliki gari katika jimbo la Aragua, kusini magharibi mwa Caracas.

Katika ajali hiyo dereva wa basi ni miongoni mwa watu 11 waliokufa, huku majeruhi wakikimbizwa katika miji ya karibu ya Maracay na La Victoria kwa ajili ya matibabu.


Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment