Kamanda
wa polisi mkoani humo , JUSTUS
KAMUGISHA amesema kwa siku za karibuni
wachimbaji hao wali acha kuchimba
kutokana na machimbo yalikuwa hayaonekani ,
lakini juzi kuna mchimbaji mmoja aliona kuna dalili za kuonekana kwa
machimbo hayo na ndipo akawapigia wenz ake simu kwa ajili ya kwenda
kuanza shughuli za uchimbaji lakini ilivyofika jana shughuli hizo
zilisitishwa.
Kwamujibu
wa Kamanda KAMUGISHA,usiku wa kuamkia
leo kuna wachimbaji ambao walivavamia machimbo hayo ambayo yalishaachwa
kuchimbwa muda mrefu na ndipo wakaanza shughuli ya uchimbaji kutokana na
machimbo hayo kuonekana kutokuwa imara na mvua iliyokuwa ikinyesha ndipo
mashimo hayo yakabomoka na kuwafukia na kusababisha vifo vyao.
Amesema
miili tayari imeshat olewa kutoka kwenye mashimo hayo,lakini
bado wanaendelea na juhudi za
kuangalia kama kuna miili mingine
imebakia.
0 comments:
Post a Comment