Image
Image

Prof.Mukandara amesema licha ya taifa kukuakiuchumi lakini bado waafrika hawana uelewa juu ya ya mageuzi ya kiuchumi na ubinafsishaji


Makamu mkuu wa chuo kikuu cha dar es salaam Prof Rwekaza Mukandara amesema mageuzi ya kiuchumi na mfumo wa ubinafsishaji katika nchi za afrika umekuwa na matokeo yasiyoridhisha kutokana na ushirikishaji mdogo wa wananchi.
Awali akimkaribisha mgeni rasmi,mwenyekiti wa kigoda cha mwalimu Prof . Penina Mlama amesema katika tamasha hilo litaangalia mambo mbalimbalu kubwa ni kujua kiini hasa cha migogoro ardhi na uwekezaji inayojitokeza kwa wingi hapa nchi na afrika kwa ujumla.
Akizungumza katika ufunguzi wa tamasha la siku tatu la kidoga cha mwalimu,Prof Mukandara  amesema idadi kubwa ya waafrika hawaelewi  matokeo ya mageuzi ya kiuchumi na ubinafsishaji katika kuboresha maisha yao  licha ya kuwepo kwa ukuaji wa haraka pato la taifa.
Aidha katika tamasha hilo,waziri wa maliasili na utalii mhe. Lazaro Nyarandu amesaini hati ya jengo la ukumbi wa Nkruma kuwa miongoni mwa tunu ya utamaduni ya taifa kutokana na historia kubwa ya ukumbi huo katika kuenzi uhuru wa majadiliano.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment