Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akitoa heshima zake za mwisho kwa
mwili wa Marehemu Luteni Kanali Benedict Kitenga (Mstaafu) aliyekuwa mkuu wa
Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera ambaye alifariki jana asubuhi katika hospitali
ya Taifa ya Muhimbili. Mazishi yake yanatarajiwa kufanyika kesho huko Morogoro.
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifariji mjane wa
marehemu baada ya kutoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa Marehemu
Luteni Kanali Benedict Kitenga (Mstaafu) aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Kyerwa
mkoani Kagera ambaye alifariki jana asubuhi katika hospitali ya Taifa ya
Muhimbili. Mazishi yake yanatarajiwa kufanyika kesho huko Morogoro.
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda akifariji wana familia baada ya
kutoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa Marehemu Luteni Kanali Benedict
Kitenga (Mstaafu) aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera ambaye
alifariki jana asubuhi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Mazishi yake
yanatarajiwa kufanyika kesho huko Morogoro.
PICHA NA IKULU
0 comments:
Post a Comment