Amesema
kuna habari zimeenea kwenye mitandao mbalimbali kuwa kuna watanzania wamekufa,
Ni kweli ila watanzania hao wamekufa katika matukio tofauti na vurugu hizo
amesema watanzania waliokufa katika matukio hayo ni Athman China alipigwa kisu
gerezani , Rashid Mohamed aliyeuwawa
kilomita 90 kwa tukio la uporaji na Ali Heshi Mohamed aliyekufa kwa ugonjwa wa TB kutokana na maelezo ya Polisi
wa nchini humo.
Waziri
Membe amewataka watanzania kujiandikisha katika ubalozi wa Tanzania nchini humo
ili serikali iwarejeshe nyumbani wakati serikali ya Afrika Kusini
inalishughulikia suala hilo, mpaka sasa ni watanzania 23 wamejiandikisha
kurejea nyumbani. Lakini watanzania wawili wamekataa kurudi nyumbani.
Amesema
Tanzania inaunga mkono Tamko lililotolewa na Mwenyekiti wa SADC na AU Rais wa
Zimbabwe Mzee Robert Mugabe kuhusu machafuko hayo na hatua ambazo serikali ya
Afrika kusini imechukua ili kuzuia yasiendelee.
Source:FullShangwe.
Safi sana inapendeza
ReplyDelete