Image
Image

News Alert: UNICEF yatoa huduma za afya kwa watoto wakimbizi kutoka Burundi walioko Tanzania.


Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF limesema asilimia 85 ya wakimbizi wanaoingia Tanzania ni wanawake na watoto na tayari wamebaini 1,000 ambao wamekimbia bila kusindikizwa na mtu wewote hivyo linamanisha changamoto wanazokumbana nazo watoto hao ikiwamo utapiamlo.

Katika mahojiano mtaalamu wa lishe wa UNICEF kutoka Tanzania Elisabeth Macha amesema licha ya kwamba idadi ya waliogundulika kuwa na utapiamlo si kubwa kati ya 9000 waliopimwa hadi sasa.

Amesema vipimo na huduma nyinginezo kwa sasa zinafanyika katika kambi ya Nyarugusu nakuongeza kuwa usajili wa wakimbizi utakapokamilika kwa wakimbizi wengine huduma hizo zitafanyika pia.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment