Shambulio hilo lililotokea
kusini magharibi mwa eneo la CAUCA, ni baya zaidi tangu mashambulizi ya angani
yaliporejelewa tena, dhidi ya waasi hao mwezi uliopita.
Rais juan manuel santos,
alianzisha tena mashambulio hayo baada wanajeshi kumi na moja kuviziwa na
kuuawa na waasi hao.
Pande zote mbili zimekuwa
zikishauriana tangu mwaka 2012, kujaribu kumaliza uhasama huo, uliodumu zaidi
ya nusu karne nchini COLOMBIA.
0 comments:
Post a Comment