Watu wenye silaha wamevamia kituo
cha Polisi cha Staki Shari Ukonga jinini Dar es Salaam na kuua takribani watu wanane
wakiwemo askari mgambo mmoja na Raia mmoja anayedhaniwa kuwa jambazi.
Katika tukio hilo la kuvamiwa kwa
kituo cha polisi na kusababisha vifo na taharuki kwa wakazi wa maeneo hayo pia
Watoto watatu waliokuwamo kituoni hapo baada ya kupotea wamenusurika kuuawa
huku wakisubiriqwa ndugu na jamaa zao kuja kuwa chukua.
Taarifa za awali Tulizonazo ndio
hizi Endelea kufuatilia kufahamu.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment