Kufuatia watu
wawili waliojeruhiwa na watu waliokuwa wamejigunika nyuso zao huko katika mtaa
wa makunduchi zanzibar waliokuwa wakienda kujiandikisha katika daftari la
wapiga kura, mwenyekiti wa chama cha wananchi (CUF) Mhe Prof.Ibrahimu lipumba
ametoa tamko la kulaani kitendo hicho.
Akiwahutubia wananchi katika viwanja vya sabasaba wilayani Buhigwe mkoani kigoma mwenyekiti huyo Mhe.Lipumba amesema kitendo hicho si cha kuvunilia.
Aidha Mhe.Lipumba amemtaka rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kama amiri jeshi mkuu kuhakikisha amani na usalama vinaendelea kuwepo wakati tukielekea katika uchaguzi mkuu ujao.>>Bonyeza SHARE Hapo juu uwezavyo ili washkaji zako wasipitwe na Stori kama Hizi na Tunapokea matangazo maelekezo hapo kwenye ukurasa wetu yana jieleza kuwa wa kwanza kutangaza nasi.
Akiwahutubia wananchi katika viwanja vya sabasaba wilayani Buhigwe mkoani kigoma mwenyekiti huyo Mhe.Lipumba amesema kitendo hicho si cha kuvunilia.
Aidha Mhe.Lipumba amemtaka rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kama amiri jeshi mkuu kuhakikisha amani na usalama vinaendelea kuwepo wakati tukielekea katika uchaguzi mkuu ujao.>>Bonyeza SHARE Hapo juu uwezavyo ili washkaji zako wasipitwe na Stori kama Hizi na Tunapokea matangazo maelekezo hapo kwenye ukurasa wetu yana jieleza kuwa wa kwanza kutangaza nasi.
0 comments:
Post a Comment