Image
Image

APPT kumuunga mkono LOWASSA uchaguzi mkuu Oktoba 2015.

Chama cha Siasa cha APPT-Maendeleo, kimetoa tamko rasmi la kumuunga mkono mgombea Urais  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo -CHADEMA - EDWARD LOWASSA katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
Katika taarifa yake  Rais Mtendaji wa chama cha  Chama cha APPT-Maendeleo,  PETER KUGA MZIRAY amesema uamuzi huo umefikiwa  katika kikao cha Mkutano Mkuu Taifa wa chama hicho,  uliofanyika Jijini Dar es Salaam.
MZIRAI  amesema ni imani ya chama chake kwamba vyombo husika pamoja na Tume ya Taia ya Uchaguzi vitatambua kwamba kitendo hicho ni kwa mujibu wa Sheria na hivyo kitambulike rasmi.
                                                EDWARD LOWASSA
APPT Maendeleo imesimamisha wagombea ngazi ya Ubunge na Udiwani mikoa tofauti.
APPT inaviomba vyama vyote vifanye siasa za ustaarabu ili Amani idumu nchini.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment