Image
Image

ICC kumfungulia tena mashtaka rais Uhuru.


Mahakama ya makosa ya jinai ya kimataifa ICC yaweza kufungua tena kesi ya raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta baada ya mahakimu kudai kuwa ushahidi dhidi ya raisi huyo haukuwa wa kutosha.

Waendesha mashtaka walitupilia mbali kesi dhidi ya raisi Uhuru Kenyatta iliyokuwa ikimkabili.

Kesi hiyo ilifungwa baada ya maafisa wa upelelezi dhidi ya uhalifu Kenya kuweka vizingiti katika kupata ushahidi wa kutosha dhidi ya raisi huyo.

Hakimu Silvia Fernandez de Gurmendi alisema kuwa waendesha mashtaka waliwacha mapengo mengi katika shughuli zao za uchunguzi.Aidha Silvia aliwaomba waendesha mashtaka hao wafanye uchunguzi tena na wafungue kesi hiyo upya.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment