Image
Image

Madai ya kwamba chama cha Waziri Mkuu Najib Razak kilipokea zawadi ya dola milioni 700 kutoka Saudi Arabia yaibua utata Malaysia.


Imefahamika kuwa chama cha Waziri Mkuu wa Malaysia Najib Razak kimepokea kiasi cha dola milioni 700 kutoka kwa Saudi Arabia na kwamba zawadi hiyo ilitumwa kwa akaunti ya kibinafsi ya waziri mkuu.

Chama cha waziri mkuu kilisema kuwa zawadi hiyo ilitolewa kwa Malaysia kwa kuwa iliunga mkono uislamu hasa dhehebu ya Sunni.

Chama hicho pia kilisema kuwa nchi nyingine kama vile Ufilipino na Thailand na kwamba Malaysia pia ilipokea zawadi kama hiyo katika mwaka wa 2013.

Upinzani umeomba tume ya kukabiliana na ufisadi kuchunguza zawadi zinazotolewa kwa chama hicho huku kikidai kuwa iwapo fedha zilizotolewa katika mwaka wa 2013 zilitumiwa katika kampeni za mwaka huo basi uchaguzi huo unafaa kufutiliwa mbali.


Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment