Image
Image

Mahakama ya Kenya yakataa dhamana ya mtuhumiwa mkuu wa kesi ya biashara haramu ya pembe za ndovu.

Dhamana ya mtuhumiwa mkuu wa kesi ya biashara haramu ya pembe za ndovu Feisal Mohamed Ali iliyotolewa na Mahakama ya Mombasa ilikataliwa na mahakama kuu. Wiki iliyopita mtuhumiwa huyo aliachiwa kwa dhamana ya dola laki 1 ya kimarekani. Mtuhumiwa huyo na wenzake watano wanatuhumiwa kufanya biashara haramu ya tani 2 ya pembe za ndovu zilizokamatwa huko Mombasa Juni 5 mwaka jana.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment