Image
Image

Upinzani wasusia kuapishwa wabunge 5 wa Zanzibar*Sakata la UDOM vurugu Mechi Bungeni.

>>>Wabunge wa upinzani watoka nje ya Bunge wakipinga kuapishwa kwa wabunge watano wa CCM kutoka Zanzibar.
>>>Serikali imeridhia wanafunzi 782 wa kozi ya ualimu katika chuo kikuu cha Dodoma UDOM kurejea nyumbani kutokana na mgomo wa walimu ambao madai yao sio sahihi kwa mujibu wa mkaguzi wa ndani.
>>>Wabunge wamechachamaa Bungeni kutaka suala la wanafunzi 782 wa kozi ya ualimu UDOM kurejea nyumbani kutokana na mgomo wa walimu lijadiliwe ndani ya Bunge, ambapo Naibu Spika amegoma hivyo kuibuka vurugu na kulazimu askari kuingia ili kuwatoa nje.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment