Kukosekana kwa barabara inayounganisha Kata ya Imalamate na Ngasamo Wilayani Busega Mkoani Simiyu kwa muda mrefu kumetajwa kuwa ni moja ya sababu kubwa inayochangia wajawazito kujifungua vichakani na wanaoishiwa damu kupoteza maisha wakiwa njiani kupelekwa hospitali.
Kutokana na kadhia hiyo wananchi wa Kijiji cha Jisesa wameazimia kuchangia ujenzi wa zahanati ili kuondoa shida hiyo.
Wananchi hao wametoa kauli hizo walipokuwa w aki zungumza kwenye mkutano wa hadhara ulioitishwa na Diwani wa Kata hiyo ,RICHARD MAGOTI.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisesa ,PETER MACHIBULA amesema huduma ya afya katika kata hiyo ni tatizo kubwa ambal o haijapatiwa ufumbuzi kwa muda mrefu, na katika mkutano huo walikubaliana kuchangia shilingi Elfu-20 kwa kila kaya ili kuanza ujenzi huo mara moja.
Home
Afya
Slider
Sababu za wajawazito kujifungulia njiani za changiwa wa kukosekana kwa barabara Simiyu.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

0 comments:
Post a Comment