Image
Image

Blatter, anawasilisha rufaa yake ya mwisho Mahakamahi.

Rais wa zamani wa shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA Sepp Blatter, anawasilisha rufaa yake ya mwisho mahakamahi hii leo dhidi ya marufuku aliyowekewa ya michezo na michezo kwa kukiuka madili.
Bw Blatter anahudhuria mahakamani kusikiliza kesi hiyo inayoendeshwa na mahakama ya usuluhishi wa mizozo michezoni nchini Uswizi.
Akizungumza na maripota mjini Lausanne, amejielezea kama mtu mwenye matumaini.
Bw Blatter aliwekewa marufuku hiyo mwezi Disemba mwaka jana kwasababu aliidhinisha malipo ya zaidi ya dola milioni mbili kwa mkuu wa zamani wa soka barani Ulaya , Michel Platini, miaka mitano iliyopita.
Mwezi Mei, Bw Platini alishindwa kushawishi kuondolewa kwa marufuku dhidi yake, ingawa ilipunguzwa kutoka miaka sita hadi miaka minne.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment