Image
Image

Tozo ya kupaki magari yaishtua CHADEMA, yawaita mamea wake wa mkoa kujadili.

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewaita mameya wake wa mkoa wa Dar es Salaam kufuatia sakata la kupandisha tozo la kupaki magari jijini dar.
Uongozi wa juu wa chama hiko umeagiza mameya wake kufika makao makuu ya chama hicho kwa majadiliano.
Chanzo cha habari hii kinadai kuwa mameya hao hawakutoa taarifa ya jambo hili zito na nyeti kwenye chama chao na inaelezwa pia kuna uwepo wa kuliamua jambo hilo kwa makusudi bila kupima athari yake kisiasa.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment