Image
Image

Jeshi la Uturuki laruhusa wanawake kuvaa hijabu jeshini.

Jeshi la Uturuki limetoa ruhusa kwa wanawake wote wanaotaka kuvaa hijabu jeshini.
Mwaka 2013 chama cha AK kilipiga marufuku uvaaji wa hijab kwa wale wanawake wote waliokuwa wanatumikia jeshi la Uturuki.
Sare za jeshi zimeruhusu wanawake kuvaa hijab ndani ya kofia ya wanajeshi.
Uamuzi huu umefurahisha raia wengi Uturuki.
Hata hivyo Uturuki ni kati ya nchi zinazounga mkono waislamu.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment