Image
Image

Breaking:Scopion ahukumiwa kifungo cha miaka 7 jela na faini ya Milioni 30.


Mahakama ya  wilaya ya  ilala imemhukumu SALUM NJWETE  maarufu kama "Scorpion "  kifungo cha miaka  saba jela na fidia ya shilingi  milioni 30 kwa kosa la kujeruhi na wizi.
SALUM NJWETE amepatikana na hatia  kwa kumje ruhi SAIDI MRISHO mkazi wa bugurudi ilala jijinii Dar es salam  kwa kumtoboa macha .
Akitoa hukumu hiyo Hakimu wa mahakama  ya ilala  FLORA HAULE  amesema ametoa hukumu hiyo ili iwe fundisho  kwa wengine   na kuagiza  fedha hizo zilipwe haraka  iwezekanavyo.
Akizungumza mahakamani hapo SAIDI MRISHO aliyefanyiwa tukio hilo  amesema hajaridhika na hukumu hiyo huku akitaka afungwe maisha au atobolewe macho kwa asababu anaishi maisha magumu kutokana na kutobolewa macho.
Source:RadioOne




Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment