 |
| RAIS OBAMA NA FAMILIA YAKE. |
Rais wa marekani Barack Obama jumapili ya pasaka aliwashangaza watu jijini humo kwa staili yakipekee
ya kutembea na familia yake huku akitembea kwa mguu kutoka ilipo ikulu (White House) akielekea kusali katika kanisa la St. John"s Episcopal Washington DC.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment