Image
Image

WAZAZI KONGO WASABABISHA KIJANA WAO KUJINYONGA BAADA YA KUKATAA KUBARIKI NDOA.


Hawa ni wapenzi wawili ambao waliamua kujichukulia jukumu la kujinyonga hadi kufa juu ya mti mara baada ya wazazi wa mvulana kukataa etii asimuoe msichana huyo huko DRC Kongo.

Kutokana na kuwa wapenzi uchwara yaani wapenzi ambao walikuwa hawajatambulika kwa wazazi, ili walazimu kutoa hisia zao kwa wazazi kwamba sasa tunataka tuoane haswa kwa mwanaume kuwafikishia wazazi wake kwamba ninaye binti nan a taka kumuoa ndipo alipoona anawekewa uzio wakuto muoa na kwa jinsi wapenzi hao walivyokuwa wameshibana, wakaona isiwe shida wakajitaftia mti mzuri wakajinyonga kama unavoona kwa picha hapo.

Sasa je kwa wazazi wa kitanzania wanao wachagulia watoto wao wachumba mmeona hiki, na je kuna mpenzi wakitanzania anayeweza kuchukua hatru hiiii?.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment