Image
Image

Vifo vya watu waliopata ajali Mufindi Mkoani Iringa vyaongezeka na Kufikia 50

Baadhi mashuhuda wa ajali hiyo wakiwa katika eneo ilipotokea ajali Mufindi iringa.

Miili ya Watu waliofariki dunia jana kutokana na ajali ya Basi la abiria la Majijna Express lililokuwa na Namba za usajili T438 CDE lililokuwa limegongana na Lori la Mizigo lililokuwa limebeba Kontena ambalo liliangukia basi hilo na kuua watu 43 katika eneo la changarawe  barabara kuu ya Iringa na mbeya  hatimaye idadi imeongezeka na Kufikia Maiti 50 hadi sasa .
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment