Akizungumza wakati wa kipindi cha Alan Brazil alisema:Ninavyojua ni kwamba Benteke ambaye amekuwa akiwindwa na Liverpool kwa mda sasa yuko karibu kuingia mkataba na Liverpool.
''Natarajia kwamba ataweka sahihi yake na kama si leo basi hivi karibuni.Tayari Liverpool imefanya uwezo wake na imeingia katika makubaliano''.
Mkufunzi wa Liverpool Brendan Rodgers amewasajili wachezaji watano msimu huu akiwemo James Milner,Danny Ings,Adam Bogdan,Joe Gomez na Roberto Firmino huku makubaliano ya kumsajili beki wa Southampton Nathaniel Clyne yakitarajiwa.


0 comments:
Post a Comment