Image
Image

Mtu mfupi kuliko wote duniani afariki akiwa na umri wa miaka 75 akiwa hospitali.


Raia wa Nepal anaefahamika kwa jina la Chandra Bahadur Dangi ambae alivunja rikodi ya mtu mfupi kuliko watu duniani katika Guinness Wordl Recording za mwaka 2012.
Chandra amefariki katika hospitali ya Lyndon B. Johnson Tropical Medical Center inayopatikana Pago Pago katika kisiwa cha Samoa kilichoka chini ya mamlaka ya Marekani Kusini mwa bahari ya Pasifiki Ijumaa.
Chandra Dangi alikuwa na kimo cha sentimita 54,6 na uzito wa kila 12.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na daktari aliekuwa akisimamia matibabu ya Dangi, alifahamisha kuwa Dangi alifariki kutokana na maradhi monia yaliokuwa yakimsumbua.


Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment