Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa nchi ya Jamhuri ya
Czech hapa nchini Pavel Rezac, tukio
hilo lilifanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimkaribisha Ikulu jijini Dar es Salaam Balozi Mteule wa nchi ya Jamhuri ya Czech hapa nchini Pavel Rezac.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na Balozi Mteule wa nchi ya Jamhuri ya Czech hapa nchini Pavel Rezac mara baada ya kukabidhi hati zake
za utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Balozi mteule kutoka nchi ya
Jamhuri ya Sudani Kusini Mariano Deng Ngor aliyefika Ikulu kwa ajili ya
kuwasilisha hati yake za utambulisho.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi Mteule wa nchi ya
Jamhuri ya Sudani Kusini Mariano Deng Ngor aliyefika Ikulu kwa ajili ya
kuwasilisha hati yake za utambulisho.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akipokea Hati ya Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Brazil hapa nchini Carlos
Alfonso Iglesias Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na Balozi Mteule wa Brazil hapa nchini Carlos Alfonso Iglesias
Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na Balozi Mteule wa Tanzania nchini Kuwait Mahadhi Juma Maalim Ikulu jijini Dar es Salaam.
Balozi Mahadhi alifika Ikulu kwa ajili ya kuagana na Mhe. Rais kwa ajili ya
kwenda kuanza kazi yake hiyo rasmi nchini Kuwait.
Kaimu Mnikulu Ngusa Samike kulia akimkaribisha Balozi Mteule wa Brazil
Carlos Alfonso Iglesias Ikulu jijini Dar es Salaam katikati ni Kaimu Mkuu wa
Itifaki James Mbwana kutoka Wizara ya Mambo ya Nje Ushirikiano wa Afrika
Mashariki, kikanda na Kimataifa. PICHA
NA IKULU
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment