Image
Image

Serikali nchini Kenya yaridhia Sheria mpya kwa wawekezaji wa kigeni.

Serikali ya Kenya yaridhia sheria mpya itakayoruhusu wawekezaji wa kigeni kuunda maeneo maalum ya kiuchumi (SEZ) ya  kutengeneza bidhaa viwandani na kuuza katika soko la nje .Kwa mujibu wa katibu mkuu wa sekta ya biashara na viwanda Adan Mohamed serikali za akaunti zipo na uhuru wa kutenga ardhi kwa ajili ya wawekezaji wote wa ndani na nje ya nchi watakaotaka kuweka SEZ .
Sheria hiyo mpya pia ni kuwahamasisha wawekezaji wa kigeni kufanya ujenzi wa viwanda kwa kutumia muda mfupi kupitia usaidizi wa mamlaka ya kanda maalum za kiuchumi (SEZA).
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment