Image
Image

Watu 20 wafariki dunia na wengine 25 kujeruhiwa mjini Aleppo nchini Syria

Watu 20 na wengine 25 kujeruhiwa kufuatia mashambulizi ya angani yaliotekelezwa  na ndege za vita za Urusi kwa niaba ya jeshi la Syria mjini Aleppo nchini Syria.Kwa mujibu wa habari zilizotolewa zinafahamisha ya kwamba wengi miongoni mwa waliofariki ni watoto na wanawake.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment