Image
Image

Mvua ya Kishindo ya siku 3 yaja, TMA yatahadharisha.

Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania imesisitiza juu ya tahadhali iliyotolewa ya uwepo mvua kubwa katika baadhi ya maeneo ya nchi na kusema ni vema wananchi wakachukua tahadhari hasa wanaoishi mabondeni.
Utabiri wa TMA bado unaonesha uwepo wa mvua kubwa kwa siku tatu mfululizo kuanzia Novemba 1 mwaka huu na kwamba dalili zote zinaonyesha Dar es Salaam kukubwa na mvua hizo.
TMA imesema ni muhimu tahadhari zikachukuliwa kwa umakini ili kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza hasa katika mikoa inayotarajiwa kuwa na mvua kubwa kwa siku tatu kuanzia Novemba 1 ambayo ni pamoja na Tanga, Pwani, Dar es Salaam pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment