Image
Image

LORI LA MAFUTA LANUSURIKA KUZAMA MTO WAMI.

Taarifa  ya mtangazaji wa Radio One na ITV Reuben Mchome kupitia mchomeblog.com imesema  kuwa ajali hiyo ilitokea Mto Wami baada ya tela la lori hili la mafuta kukatika na kuponea kwa asilimia ndogo sana kuzama kwenye mto huo ambao kwenye ripoti kadhaa umeripotiwa kuwa na Mamba.

Hata hivyo inaelezwa kuwa mpaka lori hilo linaondolewa kwenye eneo la ajali, maelfu ya abiria walikwama kwa muda wa zaidi ya saa sita ambapo kwa pande zote mbili watu walilazimika kusubiri, huku  foleni ilikuwa ikionekana  kubwa.






Aidha mwaka jana kulikua na taarifa ya lori la mkaa kugonga kuta za mto huo na kuzama huku likiwa na kondakta wake pamoja na dereva waliodaiwa kufariki.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment