Jeshi
la Polisi Mkoani Arusha linamshikilia mtu mmoja ambaye anahusishwa na
kutokea kwa mlipuko
uliotokea katika kanisa la Katoliki la St Joseph Olasiti Arusha leo
asubuhi wakati Balozi wa Papa kutoka Vatican akizindua Parokia hiyo mpya
Ya St Joseph Olasiti ya Jijini Arusha
Kuhusu TAMBARARE HALISI
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:
Post a Comment